Rais Dkt.Mwinyi Amezungumza na Wazee wa BWELEO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein AliMwinyi amesema Serikali inaposaini mikataba na wawakezaji mbalimbaliwanaowekeza nchini kipaumbele cha kwanza ni kuwanufaisha wananchiwazawa wa eneo linaloekezwa.Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo alipozungmza na viongozi na wazee wa Barazala Wazee wa Bweleo waliofika Ikulu, Zanzibar kumtembelea.Alisema, lengo la Serikali kuita wawekezaji ni kuongeza Utalii